Amosi 3:1-14 ONEN - Bible AI

1Sikilizeni neno hili alilosema Bwana* dhidi yenu, enyi watu wa Israeli, dhidi ya jamaa nzima niliowapandisha toka Misri:

2“Ni ninyi tu niliowachagua

3Je, watu wawili hutembea pamoja

4Je, simba hunguruma katika kichaka

5Je, ndege aweza kuanguka kwenye mtego ulio ardhini

6Je, tarumbeta inapopigwa mjini kujulisha hatari,

7Hakika Bwana* Mwenyezi hatafanya neno lolote

8Simba amenguruma:

9Tangazeni katika ngome za Ashdodi

10Bwana* asema: “Hawajui kutenda lililo jema,

11Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana* Mwenyezi:

12Hili ndilo asemalo Bwana*:

13“Sikia hili na ushuhudie dhidi ya nyumba ya Yakobo,” asema Bwana, Bwana* Mungu Mwenye Nguvu Zote.

14“Siku nitakapomwadhibu Israeli kwa sababu ya dhambi zake,

© 2001 American Bible Society
/div>