1Hili ndilo alilonionyesha Bwana* Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.
2Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?”
3Bwana* Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”
4Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji,
5mkisema,
6mkiwanunua maskini kwa fedha,
7Bwana* ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.
8“Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili,
9“Katika siku ile,” asema Bwana* Mwenyezi,
10Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo,
11“Siku zinakuja,” asema Bwana* Mwenyezi,
12Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari
13“Katika siku ile