Amosi 8:1-13 ONEN - Bible AI

1Hili ndilo alilonionyesha Bwana* Mwenyezi katika maono: kikapu cha matunda yaliyoiva.

2Akaniuliza, “Amosi, unaona nini?”

3Bwana* Mwenyezi asema, “Katika siku ile, nyimbo katika Hekalu zitageuka kuwa maombolezo. Miili mingi, mingi sana: itatupwa kila mahali! Kimya!”

4Lisikieni hili, ninyi ambao mnawagandamiza wahitaji,

5mkisema,

6mkiwanunua maskini kwa fedha,

7Bwana* ameapa kwake mwenyewe, aliye Kiburi cha Yakobo: “Kamwe sitasahau chochote ambacho wamefanya.

8“Je, nchi haitatetemeka kwa ajili ya hili,

9“Katika siku ile,” asema Bwana* Mwenyezi,

10Nitageuza sikukuu zenu za kidini kuwa maombolezo,

11“Siku zinakuja,” asema Bwana* Mwenyezi,

12Wanaume watayumbayumba kutoka bahari hadi bahari

13“Katika siku ile

© 2001 American Bible Society
/div>