1Nilimwona Bwana akiwa amesimama kando ya madhabahu, naye akasema:
2Wajapojichimbia chini mpaka kwenye vina vya kuzimu,
3Wajapojificha juu ya kilele cha Karmeli,
4Wajapopelekwa uhamishoni na adui zao,
5Bwana, Bwana* Mwenye Nguvu Zote,
6yeye ambaye hujenga jumba lake la kifalme katika mbingu
7“Je, Waisraeli,
8“Hakika macho ya Bwana* Mwenyezi
9“Kwa kuwa nitatoa amri,
10Watenda dhambi wote miongoni mwa watu wangu
11“Katika siku ile nitaisimamisha
12ili wapate kuyamiliki mabaki ya Edomu,
13“Siku zinakuja,” asema Bwana*,
14Nitawarejesha tena watu wangu Israeli waliohamishwa;
15Nitaipanda Israeli katika nchi yao wenyewe,