Hosea 12:1-13 ONEN - Bible AI

1Efraimu anajilisha upepo;

2Bwana* analo shtaka dhidi ya Yuda,

3Yakobo akiwa tumboni alishika kisigino cha kaka yake;

4Alishindana na malaika na kumshinda;

5Bwana* Mungu Mwenye Nguvu Zote,

6Lakini ni lazima urudi kwa Mungu wako;

7Mfanyabiashara hutumia vipimo vya udanganyifu;

8Efraimu hujisifu akisema,

9“Mimi ndimi Bwana* Mungu wenu

10Niliongea na manabii, nikawapa maono mengi

11Je, Gileadi si mwovu?

12Yakobo alikimbilia katika nchi ya Aramu;

13Bwana* alimtumia nabii