Hosea 14:1-9 ONEN - Bible AI

1Rudi, ee Israeli, kwa Bwana* Mungu wako.

2Chukueni maneno pamoja nanyi,

3Ashuru hawezi kutuokoa,

4“Nitaponya ukaidi wao

5Nitakuwa kama umande kwa Israeli;

6matawi yake yatatanda.

7Watu wataishi tena kwenye kivuli chake.

8Ee Efraimu, nina shughuli gani tena na sanamu?

9Ni nani mwenye hekima? Atayatambua mambo haya.

© 2001 American Bible Society
/div>