Isaya 21:1-16 ONEN - Bible AI

1Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:

2Nimeonyeshwa maono ya kutisha:

3Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,

4Moyo wangu unababaika,

5Wanaandaa meza,

6Hili ndilo Bwana analoniambia:

7Anapoona magari ya vita

8Naye mlinzi alipaza sauti,

9Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita

10Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,

11Neno kuhusu Duma:

12Mlinzi anajibu,

13Neno kuhusu Arabia:

14leteni maji kwa wenye kiu,

15Wanaukimbia upanga,

16Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.