1Neno kuhusu Jangwa kando ya Bahari:
2Nimeonyeshwa maono ya kutisha:
3Katika hili mwili wangu umeteswa na maumivu,
4Moyo wangu unababaika,
5Wanaandaa meza,
6Hili ndilo Bwana analoniambia:
7Anapoona magari ya vita
8Naye mlinzi alipaza sauti,
9Tazama, yuaja mtu anayepanda gari la vita
10Ee watu wangu, mliopondwa kwenye sakafu ya kupuria,
11Neno kuhusu Duma:
12Mlinzi anajibu,
13Neno kuhusu Arabia:
14leteni maji kwa wenye kiu,
15Wanaukimbia upanga,
16Hili ndilo Bwana analoniambia: “Katika muda wa mwaka mmoja, kama vile mtumishi aliyefungwa na mkataba angeihesabu, majivuno yote ya Kedari yatafikia mwisho.