Isaya 24:1-22 ONEN - Bible AI

1Tazama, Bwana* ataifanya dunia kuwa ukiwa

2ndivyo itakavyokuwa

3Dunia itaharibiwa kabisa

4Dunia inakauka na kunyauka,

5Dunia imetiwa unajisi na watu wake;

6Kwa hiyo laana inaiteketeza dunia,

7Divai mpya inakauka na mzabibu unanyauka,

8Furaha ya matoazi imekoma,

9Hawanywi tena mvinyo pamoja na wimbo,

10Mji ulioharibiwa umekuwa ukiwa,

11Barabarani wanalilia kupata mvinyo,

12Mji umeachwa katika uharibifu,

13Ndivyo itakavyokuwa duniani

14Wanainua sauti zao, wanapiga kelele kwa furaha,

15Kwa hiyo upande wa mashariki mpeni Bwana* utukufu,

16Kutoka miisho ya dunia tunasikia uimbaji:

17Hofu, shimo na mtego vinakungojea,

18Kila akimbiaye asikiapo sauti ya hofu

19Dunia imepasuka,

20Dunia inapepesuka kama mlevi,

21Katika siku ile Bwana* ataadhibu

22Watakusanywa pamoja