1Katika siku ile, wimbo huu utaimbwa katika nchi ya Yuda:
2Fungua malango ili taifa lenye haki lipate kuingia,
3Utamlinda katika amani kamilifu
4Mtumaini Bwana* milele,
5Huwashusha wale wajikwezao,
6Miguu huukanyaga chini,
7Mapito ya wenye haki yamenyooka.
8Naam, Bwana*, tukienenda katika sheria zako,
9Nafsi yangu yakutamani wakati wa usiku,
10Ingawa neema yaonyeshwa kwa waovu,
11Ee Bwana*, mkono wako umeinuliwa juu,
12Bwana*, unaamuru amani kwa ajili yetu,
13Ee Bwana*, Mungu wetu, mabwana wengine zaidi ya wewe wametutawala,
14Wao sasa wamekufa, wala hawako tena hai,
15Umeliongeza hilo taifa, Ee Bwana*,
16Bwana*, walikujia katika taabu yao,
17Kama mwanamke mwenye mimba aliyekaribia kuzaa
18Tulikuwa na mimba, tuligaagaa kwa maumivu,
19Lakini wafu wenu wataishi,
20Nendeni, watu wangu, ingieni vyumbani mwenu