1Katika siku ile,
2Katika siku ile:
3Mimi, Bwana*, ninalitunza,
4Mimi sijakasirika.
5Au niwaache waje kwangu kwa ajili ya kupata kimbilio,
6Katika siku zijazo, Yakobo atatia mizizi,
7Je, Bwana* amempiga
8Kwa vita na kwa kumfukuza unapingana naye:
9Kwa hili, basi, hatia ya Yakobo itafanyiwa upatanisho,
10Mji ulio na boma umebaki ukiwa,
11Wakati vijiti vyake vimekauka, huvunjwa
12Katika siku ile Bwana* atapura kutoka matiririko ya Mto Frati hadi Kijito cha Misri, nanyi ee Waisraeli, mtakusanywa mmoja mmoja.