1Ole wako wewe, ee mharabu,
2Ee Bwana*, uturehemu,
3Kwa ngurumo ya sauti yako, mataifa yanakimbia;
4Mateka yenu, enyi mataifa, yamevunwa kama vile wafanyavyo madumadu,
5Bwana* ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka,
6Atakuwa msingi ulio imara kwa wakati wenu,
7Angalia, watu wake mashujaa wanapiga kelele kwa nguvu barabarani,
8Njia kuu zimeachwa,
9Ardhi inaomboleza+ 33:9 Au: Ardhi inakauka.* na kuchakaa,
10“Sasa nitainuka,” asema Bwana*.
11Mlichukua mimba ya makapi,
12Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa,
13Ninyi mlio mbali sana, sikieni lile nililofanya;
14Wenye dhambi katika Sayuni wametiwa hofu,
15Yeye aendaye kwa uadilifu
16huyu ndiye mtu atakayeishi mahali pa juu,
17Macho yenu yatamwona mfalme katika uzuri wake
18Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita:
19Hutawaona tena wale watu wenye kiburi,
20Mtazame Sayuni, mji wa sikukuu zetu;
21Huko Bwana* atakuwa Mwenye Nguvu wetu.
22Kwa kuwa Bwana* ni mwamuzi wetu,
23Kamba zenu za merikebu zimelegea: