Isaya 33:1-23 ONEN - Bible AI

1Ole wako wewe, ee mharabu,

2Ee Bwana*, uturehemu,

3Kwa ngurumo ya sauti yako, mataifa yanakimbia;

4Mateka yenu, enyi mataifa, yamevunwa kama vile wafanyavyo madumadu,

5Bwana* ametukuka, kwa kuwa anakaa mahali palipoinuka,

6Atakuwa msingi ulio imara kwa wakati wenu,

7Angalia, watu wake mashujaa wanapiga kelele kwa nguvu barabarani,

8Njia kuu zimeachwa,

9Ardhi inaomboleza+ 33:9 Au: Ardhi inakauka.* na kuchakaa,

10“Sasa nitainuka,” asema Bwana*.

11Mlichukua mimba ya makapi,

12Mataifa yatachomwa kama ichomwavyo chokaa,

13Ninyi mlio mbali sana, sikieni lile nililofanya;

14Wenye dhambi katika Sayuni wametiwa hofu,

15Yeye aendaye kwa uadilifu

16huyu ndiye mtu atakayeishi mahali pa juu,

17Macho yenu yatamwona mfalme katika uzuri wake

18Katika mawazo yenu mtaifikiria hofu iliyopita:

19Hutawaona tena wale watu wenye kiburi,

20Mtazame Sayuni, mji wa sikukuu zetu;

21Huko Bwana* atakuwa Mwenye Nguvu wetu.

22Kwa kuwa Bwana* ni mwamuzi wetu,

23Kamba zenu za merikebu zimelegea: