Isaya 42:1-24 ONEN - Bible AI

1“Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza,

2Hatapaza sauti wala kupiga kelele,

3Mwanzi uliopondeka hatauvunja,

4hatazimia roho wala kukata tamaa,

5Hili ndilo asemalo Mungu, Bwana*,

6“Mimi, Bwana*, nimekuita katika haki;

7kuwafungua macho wale wasioona,

8“Mimi ndimi Bwana*; hilo ndilo Jina langu!

9Tazama, mambo ya kwanza yametokea,

10Mwimbieni Bwana* wimbo mpya,

11Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao;

12Wampe Bwana* utukufu,

13Bwana* ataenda kama mtu mwenye nguvu,

14“Kwa muda mrefu nimenyamaza kimya,

15Nitaharibu milima na vilima

16Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo hawajaijua,

17Lakini wale wanaotumaini sanamu,

18“Sikieni, enyi viziwi;

19Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,

20Mmeona vitu vingi, lakini hamkuzingatia;

21Ilimpendeza Bwana*

22Lakini hili ni taifa lililoibwa na kutekwa nyara,

23Ni nani miongoni mwenu atakayesikiliza hili,

24Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,