1“Huyu hapa mtumishi wangu, ninayemtegemeza,
2Hatapaza sauti wala kupiga kelele,
3Mwanzi uliopondeka hatauvunja,
4hatazimia roho wala kukata tamaa,
5Hili ndilo asemalo Mungu, Bwana*,
6“Mimi, Bwana*, nimekuita katika haki;
7kuwafungua macho wale wasioona,
8“Mimi ndimi Bwana*; hilo ndilo Jina langu!
9Tazama, mambo ya kwanza yametokea,
10Mwimbieni Bwana* wimbo mpya,
11Jangwa na miji yake na vipaze sauti zao;
12Wampe Bwana* utukufu,
13Bwana* ataenda kama mtu mwenye nguvu,
14“Kwa muda mrefu nimenyamaza kimya,
15Nitaharibu milima na vilima
16Nitawaongoza vipofu kwenye njia ambayo hawajaijua,
17Lakini wale wanaotumaini sanamu,
18“Sikieni, enyi viziwi;
19Ni nani aliye kipofu isipokuwa mtumishi wangu,
20Mmeona vitu vingi, lakini hamkuzingatia;
21Ilimpendeza Bwana*
22Lakini hili ni taifa lililoibwa na kutekwa nyara,
23Ni nani miongoni mwenu atakayesikiliza hili,
24Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka,