1Hili ndilo asemalo Bwana*:
2Nilipokuja, kwa nini hakuwepo hata mmoja?
3Ninalivika anga weusi na kufanya nguo ya gunia
4Bwana* Mwenyezi amenipa ulimi uliofundishwa,
5Bwana* Mwenyezi amezibua masikio yangu,
6Niliwapa mgongo wangu wale wanipigao,
7Kwa sababu Bwana* Mwenyezi ananisaidia,
8Yeye anipatiaye haki yangu yu karibu.
9Ni Bwana* Mwenyezi anisaidiaye mimi.
10Ni nani miongoni mwenu amchaye Bwana*,