1Amka, amka, ee Sayuni,
2Jikungʼute mavumbi yako,
3Kwa kuwa hili ndilo asemalo Bwana*:
4Kwa maana hili ndilo asemalo Bwana* Mwenyezi:
5“Basi sasa nina nini hapa?” asema Bwana*.
6Kwa hiyo watu wangu watalijua Jina langu;
7Tazama jinsi miguu ya wale waletao habari njema
8Sikiliza! Walinzi wako wanapaza sauti zao,
9Pazeni sauti ya nyimbo za furaha pamoja,
10Mkono mtakatifu wa Bwana* umefunuliwa
11Ondokeni, ondokeni, tokeni huko!
12Lakini hamtaondoka kwa haraka,
13Tazama, mtumishi wangu atatenda kwa hekima;
14Kama walivyokuwa wengi