1Mwenye haki hupotea,
2Wale waendao kwa unyofu
3“Lakini ninyi:
4Mnamdhihaki nani?
5Mnawaka tamaa katikati ya mialoni
6“Sanamu zilizo katikati ya mawe laini ya mabondeni ndizo fungu lenu;
7Umeweka kitanda chako juu kwenye kilima kirefu kilichoinuka,
8Nyuma ya milango yako na miimo yako
9Ulikwenda kwa Moleki+ 57:9 Moleki alikuwa mungu aliyekuwa anaabudiwa na Waamoni; pia alijulikana kama Malkomu, Maloki au Kemoshi wa Moabu.* ukiwa na mafuta ya zeituni,
10Ulikuwa umechoshwa na njia zako zote,
11“Ni nani uliyemhofu hivyo na kumwogopa
12Nitaifunua haki yako na matendo yako,
13Utakapolia kwa kuhitaji msaada,
14Tena itasemwa:
15Kwa maana hili ndilo asemalo Aliye juu, yeye aliyeinuliwa sana,
16Sitaendelea kulaumu milele,
17Nilighadhibika na tamaa yake ya dhambi;
18Nimeziona njia zake, lakini nitamponya,
19nikiumba sifa midomoni ya waombolezaji
20Bali waovu ni kama bahari ichafukayo,