1Roho wa Bwana* Mwenyezi yu juu yangu,
2kutangaza mwaka wa Bwana* uliokubaliwa,
3na kuwapa mahitaji
4Watajenga upya magofu ya zamani
5Wageni watayachunga makundi yenu,
6Nanyi mtaitwa makuhani wa Bwana*,
7Badala ya aibu yao
8“Kwa maana Mimi, Bwana*, napenda haki,
9Wazao wao watajulikana miongoni mwa mataifa,
10Ninafurahia sana katika Bwana*,