Isaya 65:1-24 ONEN - Bible AI

1“Nilijifunua kwa watu wale ambao hawakuniulizia.

2Mchana kutwa nimeinyoosha mikono yangu

3taifa ambalo daima hunikasirisha

4watu waketio katikati ya makaburi

5wasemao, ‘Kaa mbali; usinikaribie,

6“Tazama, jambo hili hubakia limeandikwa mbele zangu:

7dhambi zenu na dhambi za baba zenu,”

8Hili ndilo asemalo Bwana*:

9Nitawaleta wazao kutoka kwa Yakobo,

10Sharoni itakuwa malisho

11“Bali kwenu ninyi mnaomwacha Bwana*

12nitawaagiza mfe kwa upanga,

13Kwa hiyo hili ndilo asemalo Bwana* Mwenyezi:

14Watumishi wangu wataimba

15Mtaliacha jina lenu

16Yeye aombaye baraka katika nchi

17“Tazama, nitaumba

18Lakini furahini na kushangilia daima

19Nami nitaifurahia Yerusalemu

20“Kamwe hatakuwepo tena ndani yake

21Watajenga nyumba na kuishi ndani yake;

22Hawatajenga nyumba, nao watu wengine waishi ndani yake,

23Hawatajitaabisha kwa kazi bure,

24Kabla hawajaita, nitajibu,