Methali 3:1-34 ONEN - Bible AI

1Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,

2kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako

3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;

4Ndipo utapata kibali na jina zuri

5Mtumaini Bwana* kwa moyo wako wote

6katika njia zako zote mkiri yeye,

7Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;

8Hii itakuletea afya mwilini mwako,

9Mheshimu Bwana* kwa mali zako na

10ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,

11Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana*

12kwa sababu Bwana* huwaadibisha wale awapendao,

13Heri mtu yule aonaye hekima,

14kwa maana hekima ana faida kuliko fedha

15Hekima ana thamani kuliko marijani;

16Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;

17Njia zake zinapendeza,

18Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;

19Kwa hekima Bwana* aliiweka misingi ya dunia,

20kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,

21Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,

22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako

23Kisha utaenda katika njia yako salama,

24ulalapo, hautaogopa;

25Usiogope maafa ya ghafula

26kwa kuwa Bwana* atakuwa tumaini lako

27Usizuie wema kwa wale wanaostahili

28Usimwambie jirani yako,

29Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,

30Usimshtaki mtu bila sababu,

31Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri

32kwa kuwa Bwana* humchukia mtu mpotovu,

33Laana ya Bwana* i juu ya nyumba ya mwovu,

34Huwadhihaki wale wanaodhihaki,

>