1Mwanangu, usisahau mafundisho yangu,
2kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako
3Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe;
4Ndipo utapata kibali na jina zuri
5Mtumaini Bwana* kwa moyo wako wote
6katika njia zako zote mkiri yeye,
7Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe;
8Hii itakuletea afya mwilini mwako,
9Mheshimu Bwana* kwa mali zako na
10ndipo ghala zako zitakapojaa hadi kufurika,
11Mwanangu, usiidharau adhabu ya Bwana*
12kwa sababu Bwana* huwaadibisha wale awapendao,
13Heri mtu yule aonaye hekima,
14kwa maana hekima ana faida kuliko fedha
15Hekima ana thamani kuliko marijani;
16Maisha marefu yako katika mkono wake wa kuume;
17Njia zake zinapendeza,
18Yeye ni mti wa uzima kwa wale wanaomkumbatia;
19Kwa hekima Bwana* aliiweka misingi ya dunia,
20kwa maarifa yake vilindi viligawanywa,
21Mwanangu, hifadhi maamuzi mema na busara,
22ndipo vitakapokuwa uzima nafsini mwako
23Kisha utaenda katika njia yako salama,
24ulalapo, hautaogopa;
25Usiogope maafa ya ghafula
26kwa kuwa Bwana* atakuwa tumaini lako
27Usizuie wema kwa wale wanaostahili
28Usimwambie jirani yako,
29Usifanye hila ya kumdhuru jirani yako,
30Usimshtaki mtu bila sababu,
31Usimwonee wivu mtu mwenye jeuri
32kwa kuwa Bwana* humchukia mtu mpotovu,
33Laana ya Bwana* i juu ya nyumba ya mwovu,
34Huwadhihaki wale wanaodhihaki,