1Sikiliza asemalo Bwana*:
2Sikilizeni, ee milima, mashtaka ya Bwana*,
3“Watu wangu, nimewatendea nini?
4Nimewatoa kutoka Misri na kuwakomboa
5Watu wangu, kumbukeni jinsi Balaki mfalme wa Moabu
6Nimjie Bwana* na kitu gani na kusujudu
7Je, Bwana* atafurahishwa na kondoo dume elfu,
8Amekuonyesha yaliyo mema, ee mwanadamu.
9Sikiliza! Bwana* anauita mji:
10Je, bado nisahau, ee nyumba ya uovu,
11Je, naweza kuhukumu kuwa
12Matajiri wake ni wajeuri;
13Kwa hiyo, nimeanza kukuharibu,
14Mtakula lakini hamtashiba;
15Mtapanda lakini hamtavuna;