1Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.
2Bwana* ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi;
3Bwana* si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu,
4Anakemea bahari na kuikausha,
5Milima hutikisika mbele yake
6Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu?
7Bwana* ni Mwema,
8lakini kwa mafuriko makubwa,
9Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana*
10Watasongwa katikati ya miiba
11Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja,
12Hili ndilo asemalo Bwana*:
13Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako,
14Hii ndiyo amri Bwana* aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: