Nahumu 1:1-14 ONEN - Bible AI

1Neno alilosema Mungu kuhusu Ninawi. Kitabu cha maono cha Nahumu, Mwelkoshi.

2Bwana* ni mwenye wivu na Mungu mlipiza kisasi;

3Bwana* si mwepesi wa hasira naye ni mwenye nguvu,

4Anakemea bahari na kuikausha,

5Milima hutikisika mbele yake

6Ni nani awezaye kuzuia hasira yake yenye uchungu?

7Bwana* ni Mwema,

8lakini kwa mafuriko makubwa,

9Shauri baya lolote wapangalo dhidi ya Bwana*

10Watasongwa katikati ya miiba

11Ee Ninawi, kutoka kwako amejitokeza mmoja,

12Hili ndilo asemalo Bwana*:

13Sasa nitavunja nira zao kutoka shingo yako,

14Hii ndiyo amri Bwana* aliyoitoa kukuhusu wewe, Ninawi: