1Ole wa mji umwagao damu,
2Kelele za mijeledi,
3Wapanda farasi wanaenda mbio,
4yote haya kwa sababu ya wingi wa tamaa za kahaba,
5Bwana* Mwenye Nguvu Zote anasema,
6Nitakutupia uchafu,
7Wote wanaokuona watakukimbia na kusema,
8Je, wewe ni bora kuliko No-Amoni,
9Kushi+ 3:9 Kushi ni Ethiopia.* na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka;
10Hata hivyo alichukuliwa mateka
11Wewe pia utalewa;
12Ngome zako zote ni kama mitini
13Tazama vikosi vyako:
14Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako,
15Huko moto utakuteketeza,
16Umeongeza idadi ya wafanyabiashara wako
17Walinzi wako ni kama nzige,
18Ee mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wanasinzia;
19Hakuna kitu kinachoweza kuponya jeraha lako;