Nahumu 3:1-19 ONEN - Bible AI

1Ole wa mji umwagao damu,

2Kelele za mijeledi,

3Wapanda farasi wanaenda mbio,

4yote haya kwa sababu ya wingi wa tamaa za kahaba,

5Bwana* Mwenye Nguvu Zote anasema,

6Nitakutupia uchafu,

7Wote wanaokuona watakukimbia na kusema,

8Je, wewe ni bora kuliko No-Amoni,

9Kushi+ 3:9 Kushi ni Ethiopia.* na Misri walikuwa nguvu zake zisizo na mpaka;

10Hata hivyo alichukuliwa mateka

11Wewe pia utalewa;

12Ngome zako zote ni kama mitini

13Tazama vikosi vyako:

14Teka maji kwa ajili ya kuzingirwa kwako,

15Huko moto utakuteketeza,

16Umeongeza idadi ya wafanyabiashara wako

17Walinzi wako ni kama nzige,

18Ee mfalme wa Ashuru, wachungaji wako wanasinzia;

19Hakuna kitu kinachoweza kuponya jeraha lako;