Sefania 1:1-17 ONEN - Bible AI

1Neno la Bwana* lililomjia Sefania mwana wa Kushi, mwana wa Gedalia, mwana wa Amaria, mwana wa Hezekia, wakati wa utawala wa Yosia mwana wa Amoni mfalme wa Yuda:

2Bwana* asema,

3“Nitafagilia mbali watu na wanyama;

4“Nitaiadhibu Yuda

5wale ambao husujudu juu ya mapaa

6wale wanaoacha kumfuata Bwana*,

7Nyamazeni mbele za Bwana* Mwenyezi,

8Katika siku ya dhabihu ya Bwana*

9Katika siku hiyo nitaadhibu wote ambao

10Bwana* asema, “Katika siku hiyo

11Ombolezeni, ninyi mnaoishi katika eneo la sokoni;

12Wakati huo nitasaka mji wa Yerusalemu kwa taa,

13Utajiri wao utatekwa nyara,

14“Siku kubwa ya Bwana* iko karibu:

15Siku ile ni siku ya ghadhabu,

16siku ya tarumbeta na mlio wa vita

17Nitawaletea watu dhiki,

>