1Ole mji wa wadhalimu,
2Hautii mtu yeyote,
3Maafisa wake ni simba wangurumao,
4Manabii wake ni wenye kiburi,
5Bwana* aliye ndani yake ni mwenye haki,
6“Nimeyafutilia mbali mataifa,
7Niliuambia huo mji,
8Bwana* anasema,
9“Ndipo nitatakasa midomo ya mataifa,
10Kutoka ngʼambo ya mito ya Kushi
11Siku hiyo hutaaibishwa
12Lakini nitakuachia ndani yako
13Mabaki ya Israeli hayatafanya kosa;
14Imba, ee Binti Sayuni;
15Bwana* amekuondolea adhabu yako,
16Katika siku hiyo watauambia Yerusalemu,
17Bwana* Mungu wako yu pamoja nawe,
18“Huzuni katika sikukuu zilizoamriwa
19Wakati huo nitawashughulikia
20Wakati huo nitawakusanya;