Waamuzi 5:1-30 ONEN - Bible AI

1Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:

2“Wakuu katika Israeli wanapoongoza,

3“Sikieni hili, enyi wafalme!

4“Ee Bwana*, ulipotoka katika Seiri,

5Milima ilitetemeka mbele za Bwana*,

6“Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,

7Mashujaa walikoma katika Israeli,

8Walipochagua miungu migeni,

9Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,

10“Nanyi mpandao punda weupe,

11juu ya sauti za waimbaji

12‘Amka, amka! Debora!

13“Ndipo mabaki ya watu

14Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki;

15Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora;

16Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo

17Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani.

18Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao,

19“Wafalme walikuja na kufanya vita;

20Kutoka mbinguni nyota zilipigana,

21Mto wa Kishoni uliwasomba,

22Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo:

23Malaika wa Bwana* akasema, ‘Merozi alaaniwe.

24“Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote,

25Aliomba maji, naye akampa maziwa;

26Akanyoosha mkono wake

27Aliinama miguuni pa Yaeli,

28“Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia;

29Wanawake wenye busara

30‘Je, hawapati na kugawanya nyara:

>