1Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:
2“Wakuu katika Israeli wanapoongoza,
3“Sikieni hili, enyi wafalme!
4“Ee Bwana*, ulipotoka katika Seiri,
5Milima ilitetemeka mbele za Bwana*,
6“Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi,
7Mashujaa walikoma katika Israeli,
8Walipochagua miungu migeni,
9Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli,
10“Nanyi mpandao punda weupe,
11juu ya sauti za waimbaji
12‘Amka, amka! Debora!
13“Ndipo mabaki ya watu
14Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki;
15Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora;
16Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo
17Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani.
18Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao,
19“Wafalme walikuja na kufanya vita;
20Kutoka mbinguni nyota zilipigana,
21Mto wa Kishoni uliwasomba,
22Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo:
23Malaika wa Bwana* akasema, ‘Merozi alaaniwe.
24“Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote,
25Aliomba maji, naye akampa maziwa;
26Akanyoosha mkono wake
27Aliinama miguuni pa Yaeli,
28“Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia;
29Wanawake wenye busara
30‘Je, hawapati na kugawanya nyara: