Yeremia 30:1-23 ONEN - Bible AI

1Hili ndilo neno lililomjia Yeremia kutoka kwa Bwana*:

2“Hili ndilo asemalo Bwana*, Mungu wa Israeli: ‘Andika katika kitabu maneno yote niliyonena na wewe.

3Siku zinakuja,’ asema Bwana*, ‘nitakapowaleta watu wangu Israeli na Yuda kutoka uhamishoni, na kuwarudisha katika nchi niliyowapa baba zao ili kuimiliki,’ asema Bwana*.”

4Haya ndiyo maneno Bwana* aliyoyanena kuhusu Israeli na Yuda:

5“Hili ndilo asemalo Bwana*:

6Ulizeni na mkaone:

7Tazama jinsi ile siku itakavyokuwa ya kutisha!

8“ ‘Katika siku ile,’ asema Bwana* Mwenye Nguvu Zote,

9Badala yake, watamtumikia Bwana*, Mungu wao

10“ ‘Hivyo usiogope, ee Yakobo mtumishi wangu,

11Mimi niko pamoja nawe, nami nitakuokoa,’

12“Hili ndilo asemalo Bwana*:

13Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,

14Wale walioungana nawe wote wamekusahau,

15Kwa nini unalia kwa ajili ya jeraha lako,

16“ ‘Lakini watu wote wakuangamizao wataangamizwa;

17Lakini nitakurudishia afya yako

18“Hili ndilo asemalo Bwana*:

19Nyimbo za kushukuru zitatoka kwao

20Watoto wao watakuwa kama walivyokuwa

21Mmoja wao atakuwa kiongozi wao;

22‘Kwa hiyo ninyi mtakuwa watu wangu,

23Tazama, tufani ya Bwana*

e>