1Kuhusu Waamoni:
2Lakini siku zinakuja,”
3“Lia kwa huzuni, ee Heshboni, kwa kuwa Ai umeangamizwa!
4Kwa nini unajivunia mabonde yako,
5Nitaleta hofu kuu juu yako
6“Lakini hatimaye,
7Kuhusu Edomu:
8Geuka na ukimbie, jifiche katika mapango marefu kabisa,
9Je, kama wachuma zabibu wangekuja kwako,
10Lakini nitamvua Esau nguo abaki uchi,
11Waache yatima wako; nitayalinda maisha yao.
12Hili ndilo asemalo Bwana*: “Kama wale wasiostahili kukinywea kikombe ni lazima wakinywe, kwa nini wewe usiadhibiwe? Hutakwepa kuadhibiwa, ni lazima ukinywe.
13Ninaapa kwa nafsi yangu,” asema Bwana*, “kwamba Bosra utakuwa magofu na kitu cha kutisha, cha aibu na cha kulaania; miji yake yote itakuwa magofu milele.”
14Nimesikia ujumbe kutoka kwa Bwana*:
15“Sasa nitakufanya uwe mdogo miongoni mwa mataifa,
16Vitisho vyako na kiburi cha moyo wako
17“Edomu atakuwa kitu cha kuogofya;
18Kama vile Sodoma na Gomora zilivyoangamizwa,
19“Kama simba anayepanda kutoka vichaka vya Yordani
20Kwa hiyo, sikia kile Bwana* alichokipanga dhidi ya Edomu,
21Kwa sauti ya anguko lao, dunia itatetemeka.
22Tazama! Tai atapaa juu angani na kuruka chini kwa ghafula,
23Kuhusu Dameski:
24Dameski amedhoofika,
25Kwa nini mji ambao unajulikana haujaachwa,
26Hakika, vijana wake wanaume wataanguka barabarani;
27“Nitatia moto kuta za Dameski;
28Kuhusu Kedari na falme za Hazori, ambazo Nebukadneza mfalme wa Babeli alizishambulia:
29Hema zao na makundi yao ya kondoo yatachukuliwa;
30“Kimbieni haraka!
31“Inuka na ulishambulie taifa lililo starehe,
32Ngamia wao watakuwa nyara,
33“Hazori itakuwa makao ya mbweha,
34Hili ndilo neno la Bwana* lililomjia nabii Yeremia kuhusu Elamu, mapema katika utawala wa Sedekia mfalme wa Yuda:
35Hili ndilo Bwana* Mwenye Nguvu Zote asemalo:
36Nitaleta pepo nne dhidi ya Elamu
37Nitamfadhaisha Elamu mbele ya adui zao,
38Nitaweka kiti changu cha enzi huko Elamu