Yobu 26:1-13 ONEN - Bible AI

1Kisha Ayubu akajibu:

2“Tazama jinsi ulivyomsaidia mtu asiye na uwezo!

3Ni shauri gani ulilompa yeye asiye na hekima?

4Ni nani aliyekusaidia kutamka maneno hayo?

5“Wafu wako katika maumivu makuu,

6Mauti+ 26:6 Yaani Kuzimu; Kiebrania ni Sheol.* iko wazi mbele za Mungu;

7Hutandaza anga la kaskazini mahali patupu;

8Huyafungia maji kwenye mawingu yake,

9Huufunika uso wa mwezi mpevu,

10Amechora mstari wa upeo juu ya uso wa maji,

11Nguzo za mbingu nazo zatetemeka,

12Kwa nguvu zake aliisukasuka bahari;

13Aliisafisha anga kwa pumzi yake;

© 2001 American Bible Society
/div>