1Kwa nini, Ee Bwana*, unasimama mbali?
2Katika kiburi chake, mwovu humtesa maskini,
3Hujivunia tamaa za moyo wake;
4Katika kiburi chake, mwovu hamtafuti Mungu,
5Njia zake daima hufanikiwa;
6Anajisemea mwenyewe, “Hakuna kitakachonitikisa,
7Kinywa chake kimejaa laana, uongo na vitisho;
8Huvizia karibu na vijiji;
9Huvizia kama simba aliye mawindoni;
10Mateka wake hupondwa, huzimia;
11Anajisemea mwenyewe, “Mungu amesahau,
12Inuka Bwana*! Inua mkono wako, Ee Mungu.
13Kwa nini mtu mwovu anamtukana Mungu?
14Lakini wewe, Ee Mungu, unaona shida na huzuni,
15Vunja mkono wa mtu mwovu na mbaya,
16Bwana* ni Mfalme milele na milele,
17Unasikia, Ee Bwana*, shauku ya wanaoonewa,