1Msifuni Bwana*.
2Jina la Bwana* na lisifiwe,
3Kuanzia mawio ya jua hadi machweo yake,
4Bwana* ametukuka juu ya mataifa yote,
5Ni nani aliye kama Bwana* Mungu wetu,
6ambaye huinama atazame chini
7Huwainua maskini kutoka mavumbini,
8huwaketisha pamoja na wakuu,