1Ninampenda Bwana* kwa maana amesikia sauti yangu;
2Kwa sababu amenitegea sikio lake,
3Kamba za mauti zilinizunguka,
4Ndipo nikaliitia jina la Bwana*:
5Bwana* ni mwenye neema na haki,
6Bwana* huwalinda wanyenyekevu,
7Ee nafsi yangu, tulia tena,
8Kwa kuwa wewe, Ee Bwana*,
9ili niweze kutembea mbele za Bwana*,
10Niliamini, kwa hiyo nilisema,
11Katika taabu yangu nilisema,
12Nimrudishie Bwana* nini
13Nitakiinua kikombe cha wokovu
14Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana*
15Kifo cha watakatifu kina thamani
16Ee Bwana*, hakika mimi ni mtumishi wako,
17Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru
18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana*