Zaburi 116:1-18 ONEN - Bible AI

1Ninampenda Bwana* kwa maana amesikia sauti yangu;

2Kwa sababu amenitegea sikio lake,

3Kamba za mauti zilinizunguka,

4Ndipo nikaliitia jina la Bwana*:

5Bwana* ni mwenye neema na haki,

6Bwana* huwalinda wanyenyekevu,

7Ee nafsi yangu, tulia tena,

8Kwa kuwa wewe, Ee Bwana*,

9ili niweze kutembea mbele za Bwana*,

10Niliamini, kwa hiyo nilisema,

11Katika taabu yangu nilisema,

12Nimrudishie Bwana* nini

13Nitakiinua kikombe cha wokovu

14Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana*

15Kifo cha watakatifu kina thamani

16Ee Bwana*, hakika mimi ni mtumishi wako,

17Nitakutolea dhabihu ya kukushukuru

18Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana*

e>