Zaburi 118:1-28 ONEN - Bible AI

1Mshukuruni Bwana*, kwa kuwa ni mwema;

2Israeli na aseme sasa:

3Nyumba ya Aroni na iseme sasa:

4Wote wamchao Bwana* na waseme sasa:

5Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana*,

6Bwana* yuko pamoja nami, sitaogopa.

7Bwana* yuko pamoja nami,

8Ni bora kumkimbilia Bwana*

9Ni bora kumkimbilia Bwana*

10Mataifa yote yalinizunguka,

11Walinizunguka pande zote,

12Walinizunguka kama kundi la nyuki,

13Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,

14Bwana* ni nguvu yangu na wimbo wangu,

15Sauti za shangwe na ushindi

16Mkono wa kuume wa Bwana*

17Sitakufa, bali nitaishi,

18Bwana* ameniadhibu vikali,

19Nifungulie malango ya haki,

20Hili ni lango la Bwana*

21Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,

22Jiwe walilolikataa waashi,

23Bwana* ametenda hili,

24Hii ndiyo siku Bwana* aliyoifanya,

25Ee Bwana*, tuokoe,

26Heri yule ajaye kwa jina la Bwana*.

27Bwana* ndiye Mungu,

28Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,

e>