1Mshukuruni Bwana*, kwa kuwa ni mwema;
2Israeli na aseme sasa:
3Nyumba ya Aroni na iseme sasa:
4Wote wamchao Bwana* na waseme sasa:
5Wakati wa maumivu yangu makuu nilimlilia Bwana*,
6Bwana* yuko pamoja nami, sitaogopa.
7Bwana* yuko pamoja nami,
8Ni bora kumkimbilia Bwana*
9Ni bora kumkimbilia Bwana*
10Mataifa yote yalinizunguka,
11Walinizunguka pande zote,
12Walinizunguka kama kundi la nyuki,
13Nilisukumwa nyuma karibu kuanguka,
14Bwana* ni nguvu yangu na wimbo wangu,
15Sauti za shangwe na ushindi
16Mkono wa kuume wa Bwana*
17Sitakufa, bali nitaishi,
18Bwana* ameniadhibu vikali,
19Nifungulie malango ya haki,
20Hili ni lango la Bwana*
21Nitakushukuru, kwa kuwa ulinijibu,
22Jiwe walilolikataa waashi,
23Bwana* ametenda hili,
24Hii ndiyo siku Bwana* aliyoifanya,
25Ee Bwana*, tuokoe,
26Heri yule ajaye kwa jina la Bwana*.
27Bwana* ndiye Mungu,
28Wewe ni Mungu wangu, nitakushukuru,