Zaburi 129:1-7 ONEN - Bible AI

1Wamenionea mno tangu ujana wangu;

2wamenionea mno tangu ujana wangu,

3Wakulima wamelima mgongo wangu,

4Lakini Bwana* ni mwenye haki;

5Wale wote waichukiao Sayuni

6Wawe kama majani juu ya paa,

7kwa hayo mvunaji hawezi kujaza vitanga vyake,

>