Zaburi 13:1-5 ONEN - Bible AI

1Mpaka lini, Ee Bwana*? Je, utanisahau milele?

2Nitapambana na mawazo yangu mpaka lini,

3Nitazame, unijibu, Ee Bwana* Mungu wangu.

4Adui yangu atasema, “Nimemshinda,”

5Lakini ninategemea upendo wako usiokoma;