1Kutoka vilindini ninakulilia, Ee Bwana*.
2Ee Bwana*, sikia sauti yangu.
3Kama wewe, Ee Bwana*, ungeweka kumbukumbu ya dhambi,
4Lakini kwako kuna msamaha,
5Namngojea Bwana*, nafsi yangu inangojea,
6Nafsi yangu inamngojea Bwana
7Ee Israeli, mtumaini Bwana*,