Zaburi 132:1-17 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, mkumbuke Daudi

2Aliapa kiapo kwa Bwana*

3“Sitaingia nyumbani mwangu

4sitaruhusu usingizi katika macho yangu,

5mpaka nitakapompatia Bwana* mahali,

6Tulisikia habari hii huko Efrathi,

7“Twendeni kwenye makao yake,

8inuka, Ee Bwana*, uje mahali pako pa kupumzikia,

9Makuhani wako na wavikwe haki,

10Kwa ajili ya Daudi mtumishi wako,

11Bwana* alimwapia Daudi kiapo,

12kama wanao watashika Agano langu

13Kwa maana Bwana* ameichagua Sayuni,

14“Hapa ni mahali pangu pa kupumzika milele na milele;

15Nitambariki kwa kumpa mahitaji tele:

16Nitawavika makuhani wake wokovu,

17“Hapa nitamchipushia Daudi pembe,+ 132:17 Pembe inawakilisha nguvu.*

e>