1Msifuni Bwana*.
2ninyi ambao mnatumika ndani ya nyumba ya Bwana*,
3Msifuni Bwana*, kwa kuwa Bwana* ni mwema,
4Kwa maana Bwana* amemchagua Yakobo kuwa wake mwenyewe,
5Ninajua ya kuwa Bwana* ni mkuu,
6Bwana* hufanya lolote apendalo,
7Hufanya mawingu kupanda kutoka miisho ya dunia;
8Alimuua mzaliwa wa kwanza wa Misri,
9Alipeleka ishara zake na maajabu katikati yako, ee Misri,
10Aliyapiga mataifa mengi,
11Mfalme Sihoni na Waamori,
12akatoa nchi yao kuwa urithi,
13Ee Bwana*, jina lako ladumu milele,
14Maana Bwana* atawathibitisha watu wake,
15Sanamu za mataifa ni fedha na dhahabu,
16Zina vinywa, lakini haziwezi kusema,
17zina masikio, lakini haziwezi kusikia,
18Wale wanaozitengeneza watafanana nazo,
19Ee nyumba ya Israeli, msifuni Bwana*;
20ee nyumba ya Lawi, msifuni Bwana*;