Zaburi 140:1-12 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, niokoe, kutoka kwa watu waovu;

2ambao hupanga mipango mibaya mioyoni mwao,

3Wao hufanya ndimi zao kali kama za nyoka,

4Ee Bwana*, niepushe na mikono ya waovu;

5Wenye kiburi wameficha mtego wa kuninasa,

6Ee Bwana*, ninakuambia, “Wewe ni Mungu wangu.”

7Ee Bwana* Mwenyezi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

8Ee Bwana*, usiwape waovu matakwa yao,

9Vichwa vya wanaonizunguka vifunikwe

10Makaa ya mawe ya moto na yawaangukie!

11Wasingiziaji wasifanikiwe katika nchi;

12Najua kwamba Bwana* huwapatia maskini haki,

e>