Zaburi 141:1-9 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, ninakuita wewe, uje kwangu hima.

2Maombi yangu na yafike mbele zako kama uvumba;

3Ee Bwana*, weka mlinzi kinywani mwangu,

4Usiuache moyo wangu uvutwe katika jambo baya,

5Mtu mwenye haki na anipige: ni jambo la huruma;

6watawala wao watatupwa chini

7Watasema, “Kama mtu anavyolima na kuvunja ardhi,

8Lakini nimekaza macho yangu kwako, Ee Bwana* Mwenyezi,

9Niepushe na mitego waliyonitegea,

>