1Ee Bwana*, sikia sala yangu,
2Usimhukumu mtumishi wako,
3Adui hunifuatilia,
4Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu,
5Nakumbuka siku za zamani;
6Nanyoosha mikono yangu kwako,
7Ee Bwana*, unijibu haraka,
8Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma,
9Ee Bwana*, uniokoe na adui zangu,
10Nifundishe kufanya mapenzi yako,
11Ee Bwana*, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu,