1Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme,
2Kila siku nitakusifu
3Bwana* ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana,
4Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine,
5Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako,
6Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha,
7Wataadhimisha wema wako mwingi,
8Bwana* ni mwenye neema na mwingi wa huruma,
9Bwana* ni mwema kwa wote,
10Ee Bwana*, vyote ulivyovifanya vitakusifu,
11Watasimulia utukufu wa ufalme wako
12ili watu wote wajue matendo yako makuu
13Ufalme wako ni ufalme wa milele,
14Bwana* huwategemeza wote waangukao,
15Macho yao wote yanakutazama wewe,
16Waufumbua mkono wako,
17Bwana* ni mwenye haki katika njia zake zote,
18Bwana* yu karibu na wote wamwitao,
19Huwatimizia wamchao matakwa yao,
20Bwana* huwalinda wote wampendao,