1Msifuni Bwana*!+ 146:1 Msifuni +nd Bwana+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.*
2Nitamsifu Bwana* maisha yangu yote;
3Usiweke tumaini lako kwa wakuu,
4Roho yao itokapo hurudi mavumbini,
5Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,
6Muumba wa mbingu na nchi,
7Naye huwapatia haki walioonewa
8Bwana* huwafumbua vipofu macho,
9Bwana* huwalinda wageni