Zaburi 146:1-9 ONEN - Bible AI

1Msifuni Bwana*!+ 146:1 Msifuni +nd Bwana+nd* kwa Kiebrania ni Hallelu Yah.*

2Nitamsifu Bwana* maisha yangu yote;

3Usiweke tumaini lako kwa wakuu,

4Roho yao itokapo hurudi mavumbini,

5Heri yeye ambaye Mungu wa Yakobo ni msaada wake,

6Muumba wa mbingu na nchi,

7Naye huwapatia haki walioonewa

8Bwana* huwafumbua vipofu macho,

9Bwana* huwalinda wageni

>