Zaburi 147:1-19 ONEN - Bible AI

1Msifuni Bwana*.

2Bwana* hujenga Yerusalemu,

3Anawaponya waliovunjika mioyo

4Huzihesabu nyota

5Bwana wetu ni mkuu na mwenye uwezo mwingi,

6Bwana* huwahifadhi wanyenyekevu

7Mwimbieni Bwana* kwa shukrani,

8Yeye huzifunika anga kwa mawingu,

9Huwapa chakula mifugo

10Furaha yake haipo katika nguvu za farasi,

11Bwana* hupendezwa na wale wamchao,

12Mtukuze Bwana*, ee Yerusalemu,

13kwa maana huimarisha makomeo ya malango yako

14Huwapa amani mipakani mwenu

15Hutuma amri yake duniani,

16Anatandaza theluji kama sufu

17Huvurumisha mvua yake ya mawe kama changarawe.

18Hutuma neno lake na kuviyeyusha,

19Amemfunulia Yakobo neno lake,

e>