Zaburi 149:1-8 ONEN - Bible AI

1Msifuni Bwana*.

2Israeli na washangilie katika Muumba wao,

3Na walisifu jina lake kwa kucheza

4Kwa maana Bwana* anapendezwa na watu wake,

5Watakatifu washangilie katika heshima hii,

6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao

7ili walipize mataifa kisasi

8wawafunge wafalme wao kwa minyororo,

>