1Msifuni Bwana*.
2Israeli na washangilie katika Muumba wao,
3Na walisifu jina lake kwa kucheza
4Kwa maana Bwana* anapendezwa na watu wake,
5Watakatifu washangilie katika heshima hii,
6Sifa za Mungu na ziwe vinywani mwao
7ili walipize mataifa kisasi
8wawafunge wafalme wao kwa minyororo,