1Mbingu zinatangaza utukufu wa Mungu,
2Siku baada ya siku zinatoa habari,
3Hakuna msemo wala lugha,
4Sauti yao imeenea duniani pote,
5linafanana na bwana arusi
6Huchomoza upande mmoja wa mbingu,
7Sheria ya Bwana* ni kamilifu,
8Maagizo ya Bwana* ni kamili,
9Kumcha Bwana* ni utakatifu,
10Ni za thamani kuliko dhahabu,
11Kwa hizo mtumishi wako anaonywa,
12Ni nani awezaye kutambua makosa yake?
13Mlinde mtumishi wako na dhambi za makusudi,