1Bwana* na akujibu unapokuwa katika dhiki,
2Na akutumie msaada kutoka patakatifu
3Na azikumbuke dhabihu zako zote,
4Na akujalie haja ya moyo wako,
5Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,
6Sasa nafahamu kuwa Bwana*
7Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,
8Wao wameshushwa chini na kuanguka,