Zaburi 20:1-8 ONEN - Bible AI

1Bwana* na akujibu unapokuwa katika dhiki,

2Na akutumie msaada kutoka patakatifu

3Na azikumbuke dhabihu zako zote,

4Na akujalie haja ya moyo wako,

5Tutashangilia kwa furaha utakaposhinda,

6Sasa nafahamu kuwa Bwana*

7Wengine wanatumaini magari ya vita, na wengine farasi,

8Wao wameshushwa chini na kuanguka,