Zaburi 24:1-9 ONEN - Bible AI

1Dunia ni mali ya Bwana*, na vyote vilivyomo ndani yake,

2maana aliiwekea misingi yake baharini

3Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana*?

4Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe,

5Huyo atapokea baraka kutoka kwa Bwana*,

6Hiki ndicho kizazi cha wale wamtafutao,

7Inueni vichwa vyenu, enyi malango,

8Ni nani huyu Mfalme wa utukufu?

9Inueni vichwa vyenu, enyi malango,