1Kwako wewe, Ee Bwana*,
2ni wewe ninayekutumainia,
3Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea
4Nionyeshe njia zako, Ee Bwana*,
5niongoze katika kweli yako na kunifundisha,
6Kumbuka, Ee Bwana*, rehema zako kuu na upendo,
7Usizikumbuke dhambi za ujana wangu
8Bwana* ni mwema na mwenye adili,
9Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,
10Njia zote za Bwana* ni za upendo na uaminifu
11Ee Bwana*, kwa ajili ya jina lako,
12Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana*?
13Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,
14Siri ya Bwana* iko kwa wale wamchao,
15Macho yangu humwelekea Bwana* daima,
16Nigeukie na unihurumie,
17Shida za moyo wangu zimeongezeka,
18Uangalie mateso na shida zangu
19Tazama adui zangu walivyo wengi,
20Uyalinde maisha yangu na uniokoe,
21Uadilifu na uaminifu vinilinde,