Zaburi 25:1-21 ONEN - Bible AI

1Kwako wewe, Ee Bwana*,

2ni wewe ninayekutumainia,

3Kamwe hakuna hata mmoja anayekutegemea

4Nionyeshe njia zako, Ee Bwana*,

5niongoze katika kweli yako na kunifundisha,

6Kumbuka, Ee Bwana*, rehema zako kuu na upendo,

7Usizikumbuke dhambi za ujana wangu

8Bwana* ni mwema na mwenye adili,

9Huwaongoza wanyenyekevu katika haki,

10Njia zote za Bwana* ni za upendo na uaminifu

11Ee Bwana*, kwa ajili ya jina lako,

12Ni nani basi, mtu yule anayemcha Bwana*?

13Mtu huyo atafanikiwa maishani mwake,

14Siri ya Bwana* iko kwa wale wamchao,

15Macho yangu humwelekea Bwana* daima,

16Nigeukie na unihurumie,

17Shida za moyo wangu zimeongezeka,

18Uangalie mateso na shida zangu

19Tazama adui zangu walivyo wengi,

20Uyalinde maisha yangu na uniokoe,

21Uadilifu na uaminifu vinilinde,

>