Zaburi 26:1-11 ONEN - Bible AI

1Ee Bwana*, nithibitishe katika haki,

2Ee Bwana*, unijaribu, unipime,

3kwa maana upendo wako

4Siketi pamoja na watu wadanganyifu,

5ninachukia kusanyiko la watenda mabaya

6Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia,

7nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa,

8Ee Bwana*, naipenda nyumba yako mahali unakoishi,

9Usiiondoe nafsi yangu pamoja na watenda dhambi,

10ambao mikononi mwao kuna mipango miovu,

11Bali mimi ninaishi maisha yasiyo na lawama;

>