Zaburi 27:1-13 ONEN - Bible AI

1Bwana* ni nuru yangu na wokovu wangu,

2Waovu watakaposogea dhidi yangu

3Hata jeshi linizunguke pande zote,

4Jambo moja ninamwomba Bwana*,

5Kwa kuwa siku ya shida,

6Kisha kichwa changu kitainuliwa

7Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana*,

8Moyo wangu unasema kuhusu wewe,

9Usinifiche uso wako,

10Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,

11Nifundishe njia yako, Ee Bwana*,

12Usiniachilie kwa nia za adui zangu,

13Nami bado nina tumaini hili:

>