1Bwana* ni nuru yangu na wokovu wangu,
2Waovu watakaposogea dhidi yangu
3Hata jeshi linizunguke pande zote,
4Jambo moja ninamwomba Bwana*,
5Kwa kuwa siku ya shida,
6Kisha kichwa changu kitainuliwa
7Isikie sauti yangu nikuitapo, Ee Bwana*,
8Moyo wangu unasema kuhusu wewe,
9Usinifiche uso wako,
10Hata kama baba yangu na mama wakiniacha,
11Nifundishe njia yako, Ee Bwana*,
12Usiniachilie kwa nia za adui zangu,
13Nami bado nina tumaini hili: