1Ninakuita wewe, Ee Bwana*, Mwamba wangu;
2Sikia kilio changu unihurumie
3Usiniburute pamoja na waovu,
4Walipe sawasawa na matendo yao,
5Kwa kuwa hawaheshimu kazi za Bwana*,
6Bwana* asifiwe,
7Bwana* ni nguvu zangu na ngao yangu,
8Bwana* ni nguvu ya watu wake,