Zaburi 29:1-10 ONEN - Bible AI

1Mpeni Bwana*, enyi mashujaa,

2Mpeni Bwana* utukufu unaostahili jina lake;

3Sauti ya Bwana* iko juu ya maji;

4Sauti ya Bwana* ina nguvu;

5Sauti ya Bwana* huvunja mierezi;

6Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,

7Sauti ya Bwana* hupiga kwa miali

8Sauti ya Bwana* hutikisa jangwa;

9Sauti ya Bwana* huzalisha ayala,

10Bwana* huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;

>