1Mpeni Bwana*, enyi mashujaa,
2Mpeni Bwana* utukufu unaostahili jina lake;
3Sauti ya Bwana* iko juu ya maji;
4Sauti ya Bwana* ina nguvu;
5Sauti ya Bwana* huvunja mierezi;
6Hufanya Lebanoni irukaruke kama ndama,
7Sauti ya Bwana* hupiga kwa miali
8Sauti ya Bwana* hutikisa jangwa;
9Sauti ya Bwana* huzalisha ayala,
10Bwana* huketi akiwa ametawazwa juu ya gharika;